SlideShare a Scribd company logo
1 of 24
UHAKIKI WA MAUDHUI
TAMTHILIYA
YA
ORODHA(Steve
Reynolds)
Mussa Shekinyashi
+255 743 98 98 29
+255 714 80 75 65
mussashaky@gmail.com
Utangulizi
 Tamthiliya ya Orodha ni tamthiliya inayohusu suala zima la ugonjwa wa
UKIMWI na madhara yake katika jamii.
 Mwandishi anaweka wazi kuhusu gonjwa hili. Mhusika mkuu Furaha
anaathirika na gonjwa hili na kufariki dunia.
 Kimaudhui tamthiliya hii imesawiri maisha ya sasa ya jamii ya Watanzania
kwani ugonjwa huu bado ni tishio.
 Kwa upande wa fani, mwandishi amewaumba vyema wahusika wake,
muundo wake ni unaomvutia msomaji kujua ni nini kingeendelea
mbeleni, ameteua lugha nzuri ya kisanaa. Haya yote yanajielekeza katika
uchambuzi tutaoenda kuufanya.
Maudhui
Kipengele
cha
Dhamira
Maambukizi ya VVU na UKIMWI
 UKIMWI ni kifupi cha Upungufu wa Kinga Mwilini. Hili ni gonjwa lilitingisha
jamii na kutangazwa kama janga la Taifa mwanzoni mwa miaka ya tisini
mpaka sasa.
 Mwandishi anaiangalia jamii ya mtanzania na kuona kuwa kunauhitaji
mkubwa wa elimu juu ya ugonjwa huu.
 Mwandishi ameonesha jinsi maambukizi ya UKIMWI yanavyoweza
kutokea katika jamii. Kupitia mhusika Furaha, Bwana Ecko, Padri James,
Kitunda na Salim mwandishi anaonesha jinsi gonjwa hili hatari
linavyoweza kuathiri jamii nzima kwa muda mfupi.
 Dhamira hii inajitokeza katika jamii yetu.
Athari za makundirika
 Vijana wa rika moja (marafiki) hushawishiana kufanya mambo pamoja.
Katika hali kama hiyo kuna uwezekano wakafundishana na kushawishiana
kufanya mambo mabaya.
 Mwandishi anamtumia mhusika Mary anayemshawishi Furaha na
kumpeleka Baa kwa bwana Ecko. Huko anamuingiza katika ulevi na
kumshawishi kufanya ngono na watu wazima.
 Tatizo la makundirika lipo kwenye jamii yetu. Vijana wengi hutumbukia
katika mambo mabaya kwa kufuata mkumbo wa marafiki.
Vishawishi
 Hii ni hali ya kumfanya mtu kutenda jambo fulani.
 Mwandishi ameonesha udhaifu wa binadamu katika ushawishi.
 Anamtumia mhusika Padri James anayeshawishika kwa Furaha na kujikuta
akiingia katika dhambi ya ngono.
 Pia mhusika Mary anamshawishi Furaha kumkubali Bwana Ecko na
kumuahidi kuwa atapata vitu vizuri.
 Mwisho mhusika Kitunda anamshawishi Furaha kuvuta bangi na
kumshawishi wafanye ngono.
Hofu
 Hofu ni hali ya kuwa na woga. Wahusika wanaonekana wakisongwa na
hofu juu ya orodha inayokwenda kusomwa.
 Wanakijiji wote walikuwa na hofu kwa kuwa hawakuwa na taarifa za
kutosha juu ya ugonjwa wa UKIMWI. Mwandishi anaonesha jinsi hofu
inavyoweza kuathiri maisha ya mwanadamu.
 Anaonesha jinsi Bwana Ecko, Juma, Padri James na Kitunda wanavyopata
shida kutafuta orodha.
 Mwisho wa yote orodha hiyo haikuwa kama walivyofikiri wao.
Mmomonyoko wa Maadili
 Maadili ni jumla ya taratibu jamii ilizojiweke ili watu wake wawe na
mwenendo mwema. Mwandishi anaiakosoa jamii kwa kuionesha jinsi
ilivyokengeuka kutoka katika maadili iliyojiwekea.
 Anamtumia mhusika Furaha ambaye hukutoroka nyumbani na kwenda
kwenye sehemu za starehe. Kwa desturi za jmii yetu msichana wa rika la
Furaha haruhusiwi kwenda sehemu hizo. Pia, Furaha anajihusisha na vitendo
vya kihuni na kuidharirisha familia yake.
 Vitendo vingine vinavyoashiria mmomonyoko wa maadili ni pale;
 Bwana Ecko na Juma ni wakubwa kiumri lakini wanajihusisha kimapenzi na
wasichana wadogo (Furaha na Mary).
 Padri James anaitumia nafasi yake kama kiongozi wa dini kufanya ngono na
Furaha.
 Furaha anapokutana na Salimu nyumba ya nyumba yao.
 Matukio yote haya yaashiria kumomonyoka kwa maadili ya jamii.
Mapenzi ya kweli
 Mapenzi ya kweli yamejidhihirisha kupitia mhusika Furaha kwa jamii yake.
Upendo huo umedhihirika pale alipoamua kuandikia jamii yake barua
yenye orodha ya mambo ya msingi ambayo yangeisaidia jamii kujiepusha
na maambukizi ya UKIMWI.
 Mama Furaha anaonesha kuwa na upendo wa dhati na binti yake.
Alimuangalia kwa ukaribu na kumtunza hata pale alipogundua kuwa
alikuwa ameathirika na VVU. Alimpa tumaini mpaka siku yake ya mwisho.
 Mama furaha alionesha kuwa na upendo wa kweli na jamii yake.
 Furaha alionesha kuwa na upendo wa ukweli na jamii yake.
Umbeya na masengenyo
 Umbeya ni tabia ya kutoa habari bila ya kutumwa.
 Mwandishi anaonesha tabia hiyo kupitia wanakijiji, wanakijiji wanatabia za
umbea na masengenyo sana. Mfano katika Uk 18 Mwanakijiji wa 3
anampasha habari Mama Furaha juu ya umbea uliozagaa kijijini kwao
kuhusu Furaha.
 Pia, baada ya kuugua kwa Furaha habari zilizagaa kijijini kuwa ameandaa
orodha itakayosomwa kwa sauti siku ya mazishi yake.
 Tabia za namna hii zipo miongoni mwa wanajamii wenzetu.
Kukata Tamaa
 Kukata tamaa ni kitendo cha kuacha kuwa na shauku ya kufanya jambo
Fulani zaidi. Kitendo cha Furaha kuandika orodha baada ya kujua kuwa
anaugua UKIMWI kinaonesha kuwa alikuwa amekata tamaa.
 Hakuona tumaini la maisha tena baada ya kugunduliwa ameathirika na
virusi vya UKIMWI.
 Watu wengi kwenye jamii yetu hujikuta wakikata tamaa
wanapogundulika kuwa wameathirika na UKIMWI.
Tamaa
 Kila binadamu huwa na matarajio ya kupata kitu fulani.
 Furaha alijiingiza katika vitendo vya ngono na bwana Ecko kwa kutamani
pesa zake.
 Pia, Furaha alijikuta yumo kwenye mtego wa Kitunda kwa kutamani vitu
alivyonavyo; kama sterio na vinginevyo.
 Mwandishi anaikemea tabia hii na kubainisha kuwa ni moja ya chanzo
cha maambukizi kwa vijana.
Umalaya (Ukahaba)
 Hii ni tabia ya baadhi ya watu wanaoshiriki vitendo vya ngono na watu
wengi kwa dhumuni la kulipwa pesa au starehe.
 Mhusika mkuu, Furaha anajihusisha na vitendo vya ngono na watu wengi
kijijini kwao.
 Pia, Bwana Ecko anajihusisha na vitendo vya ngono na wasichana wengi
hapo kwa kijijini.
 Wapo vijana wanaojihusisha na tabia za kikahaba katika jamii zetu
Unyanyapaa
 Kunyanyapaa ni kumuepuka mtu na kumuona kinyaa.
 Wanakijiji wanogopa kukutana na mtu aliyeambukizwa maradhi ya
UKIMWI kwa kuwa wanaamini wataambukizwa.
 Salim anapomtembelea Furaha anaogopa kukaa naye karibu au
kumshika mkono kwa kuwa anahofia kuwa ataambukizwa VVU.
 Hivyo mwandishi ameona tatizo hili la unyanyapaa katika jamii yetu na
kuliweka bayana.
Imani Potofu
 Hizi ni imani zisizo za ukweli. Jamii mara nyingine hujijengea imani juu ya
jambo Fulani bila kuwa na uhakika au uthibitisho juu yake.
 Mhusika mwanakijiji wa kwanza anapendekeza kuwa Furaha alipata
ugonjwa kwa kurogwa.
 Bwana Juma anaamini ukifanya mapenzi na msichana bikira ni dawa ya
UKIMWI.
 Hii inaonesha kuwa watu wengi hawana elimu ya kutosha juu ya ugonjwa
wa UKIMWI.
Kukosekana kwa elimu Juu ya
ugonjwa wa UKIMWI
 Gonjwa la UKIMWI ni gonjwa jipya kwenye jamii ya waafrika. Hivyo watu
wengi hawajui mambo mengi kuhusu ugonjwa huu.
 Mwandishi anaonesha kuwa wanakijiji hawajui masuala mengi
yanayohusiana na ugonjwa wa UKIMWI; ikiwemo namna unavyoenezwa,
tiba na namna ya kujikinga.
 Wanatoa mawazo mengi ambayo si ya kweli juu ya ugonjwa huu hatari.
 Tatizo hili lipo zaidi katika maeneo ya vijijini nchini Tanzania.
Vipengele vingine
vya
Maudhui
Migogoro
 Mgogoro kati ya Furaha na Dada Mdogo
 Mgogoro huu umejitokeza pale Furaha alipokuwa anatoroka usiku kwenda
baa.
 Mgogoro kati ya Baba Furaha na furaha
 Mgogoro huu umetokea baada ya baba kugundua kuwa furaha huwa
anatoroka usiku.
 Mgogoro kati ya Furaha na Salim
 Mgogoro huu unajitokeza pale Salimu anapoenda kuulizia orodha kwa
Furaha.
 Mgogoro kati ya bwana Juma na Mary
 Mgogoro kati ya Salim na Mama Furaha
 Baada ya Salim kuchana barua iliyokuwa imeshikwa na mama Furaha.
Ujumbe
 Tamaa mbele mauti nyuma
 UKIMWI huathiri watu wa rika zote
 Mapenzi ya utotoni si mazuri katika jamii
 Tunatakiwa tuwatii wazazi na kufanya kazi kwa bidi
 Marafiki wabaya hutupeleka katika njia isiyofaa
 Matumizi ya kondomu hupunguza maambukizi ya UKIMWI
 Dhana potofu hupelekea unyanyapaa
Falsafa
 Mwandishi anaamini kuwa Binadamu ni kiumbe dhaifu sana kisichoweza
kupingana na vishawishi. Anamtumia mhusika furaha na Padre James
ambao wanashindwa kupambana na tamaa za miili yao na kujikuta
wakiingia katika vitendo vya ngono. Matokeo yake ni kuongezeka kwa
maambukizi ya UKIMWI.
 Pia mwandishi anaamini kuwa watu wakipata elimu juu ya ugonjwa wa
UKIMWI tunaweza kupunguza mambukizi mapya. Anatoa mapendekezo
yatakayoiokoa jamii yake kwa kutumia orodha ya mambo ya msingi ya
kuzingatiwa.
Mtazamo
 Mwandishi anamtazamo yakinifu. Anaiangalia jamii yake katika mtazamo
dhahiri wenye uthibitisho.
 Anabainisha changamoto zinazoikumba jamii yake na kuonesha
suluhisho la matatizo hayo.
 Mfano anaonesha tatizo la jamii kukosa elimu ya ugonjwa wa UKIMWI na
kutoa namna ya kuliepuka janga hilo.
 Mwandishi anamtazama Padri James kwa jicho la kibinadamu. Anamuona
kama binadamu mwingine na kwamba anaweza kuathiriwa na tamaa za
kibinadamu.
Swali
“Mwandishi ni mwanga wa jamii,
unaomulika katika kiza kinene cha ouvu.”
Jadili kauli hii kwa kutumia tamthiliya mbili
ulizosoma darasani.
UHAKIKI WA TAMTHILIYA - ORODHA

More Related Content

What's hot

Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiUhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiKAZEMBETVOnline
 
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiUhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiMussaOmary3
 
KUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILI
KUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILIKUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILI
KUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILImussa Shekinyashi
 
Kuongeza msamiati wa kiswahili
Kuongeza msamiati wa kiswahiliKuongeza msamiati wa kiswahili
Kuongeza msamiati wa kiswahiliKAZEMBETVOnline
 
Utungaji wa kazi za fasihi andishi
Utungaji wa kazi za fasihi andishiUtungaji wa kazi za fasihi andishi
Utungaji wa kazi za fasihi andishiMussaOmary3
 
Waingereza na baada ya uhuru
Waingereza na baada ya uhuruWaingereza na baada ya uhuru
Waingereza na baada ya uhuruKAZEMBETVOnline
 
Ushairi wa Kiswahili kuanzia karne ya 16 mpaka karne ya 20
Ushairi wa Kiswahili kuanzia karne ya 16 mpaka karne ya 20Ushairi wa Kiswahili kuanzia karne ya 16 mpaka karne ya 20
Ushairi wa Kiswahili kuanzia karne ya 16 mpaka karne ya 20Mathieu Roy
 
MAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIA
MAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIAMAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIA
MAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIAshahzadebaujiti
 
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)Mwl. Mapesa Nestory
 
Tpological Universals & SLA (Linguistic Typology)
Tpological Universals & SLA (Linguistic Typology)Tpological Universals & SLA (Linguistic Typology)
Tpological Universals & SLA (Linguistic Typology)Seray Tanyer
 
Chimbuko na Asili ya Kiswahili
Chimbuko na Asili ya KiswahiliChimbuko na Asili ya Kiswahili
Chimbuko na Asili ya Kiswahilimussa Shekinyashi
 
USHAIRI WA KISWAHILI
USHAIRI WA KISWAHILIUSHAIRI WA KISWAHILI
USHAIRI WA KISWAHILIPeter Deus
 

What's hot (20)

Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiUhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
 
Vitabu teule vya fasihi
Vitabu teule vya fasihiVitabu teule vya fasihi
Vitabu teule vya fasihi
 
MAENDELEO YA KISWAHILI
MAENDELEO YA KISWAHILIMAENDELEO YA KISWAHILI
MAENDELEO YA KISWAHILI
 
CHIMBUKO LA FASIHI
CHIMBUKO LA FASIHICHIMBUKO LA FASIHI
CHIMBUKO LA FASIHI
 
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishiUhakiki wa kazi za fasihi andishi
Uhakiki wa kazi za fasihi andishi
 
KUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILI
KUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILIKUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILI
KUKUA NA KUENEA KWA KISWAHILI
 
Kuongeza msamiati wa kiswahili
Kuongeza msamiati wa kiswahiliKuongeza msamiati wa kiswahili
Kuongeza msamiati wa kiswahili
 
Utungaji wa kazi za fasihi andishi
Utungaji wa kazi za fasihi andishiUtungaji wa kazi za fasihi andishi
Utungaji wa kazi za fasihi andishi
 
Sarufi Matamshi (Fonolojia)
Sarufi Matamshi (Fonolojia)Sarufi Matamshi (Fonolojia)
Sarufi Matamshi (Fonolojia)
 
FASIHI KWA UJUMLA
FASIHI KWA UJUMLAFASIHI KWA UJUMLA
FASIHI KWA UJUMLA
 
Waingereza na baada ya uhuru
Waingereza na baada ya uhuruWaingereza na baada ya uhuru
Waingereza na baada ya uhuru
 
MATUMIZI YA SARUFI
MATUMIZI YA SARUFIMATUMIZI YA SARUFI
MATUMIZI YA SARUFI
 
Ushairi wa Kiswahili kuanzia karne ya 16 mpaka karne ya 20
Ushairi wa Kiswahili kuanzia karne ya 16 mpaka karne ya 20Ushairi wa Kiswahili kuanzia karne ya 16 mpaka karne ya 20
Ushairi wa Kiswahili kuanzia karne ya 16 mpaka karne ya 20
 
UTUNGAJI
UTUNGAJIUTUNGAJI
UTUNGAJI
 
MAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIA
MAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIAMAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIA
MAENDELEO YA KISWAHILI TANZANIA
 
Ngeli za nomino
Ngeli za nominoNgeli za nomino
Ngeli za nomino
 
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)
 
Tpological Universals & SLA (Linguistic Typology)
Tpological Universals & SLA (Linguistic Typology)Tpological Universals & SLA (Linguistic Typology)
Tpological Universals & SLA (Linguistic Typology)
 
Chimbuko na Asili ya Kiswahili
Chimbuko na Asili ya KiswahiliChimbuko na Asili ya Kiswahili
Chimbuko na Asili ya Kiswahili
 
USHAIRI WA KISWAHILI
USHAIRI WA KISWAHILIUSHAIRI WA KISWAHILI
USHAIRI WA KISWAHILI
 

More from mussa Shekinyashi

More from mussa Shekinyashi (9)

Matumizi ya Lugha Kimuktadha
Matumizi ya Lugha KimuktadhaMatumizi ya Lugha Kimuktadha
Matumizi ya Lugha Kimuktadha
 
Kiswahili ni Pijini au Krioli
Kiswahili ni Pijini au KrioliKiswahili ni Pijini au Krioli
Kiswahili ni Pijini au Krioli
 
Uhifadhi wa fasihi simulizi
Uhifadhi wa fasihi simuliziUhifadhi wa fasihi simulizi
Uhifadhi wa fasihi simulizi
 
Tafsiri na ukalimani
Tafsiri na ukalimaniTafsiri na ukalimani
Tafsiri na ukalimani
 
Evolution of Man (form one)
Evolution of Man (form one)Evolution of Man (form one)
Evolution of Man (form one)
 
Public Speaking Tips
Public Speaking TipsPublic Speaking Tips
Public Speaking Tips
 
GENDER CONCEPTS - FORM TWO
GENDER CONCEPTS - FORM TWO GENDER CONCEPTS - FORM TWO
GENDER CONCEPTS - FORM TWO
 
UHAKIKI WA RIWAYA - USIKU UTAKAPOKWISHA
UHAKIKI WA RIWAYA - USIKU UTAKAPOKWISHAUHAKIKI WA RIWAYA - USIKU UTAKAPOKWISHA
UHAKIKI WA RIWAYA - USIKU UTAKAPOKWISHA
 
Semantiki
SemantikiSemantiki
Semantiki
 

UHAKIKI WA TAMTHILIYA - ORODHA

  • 1. UHAKIKI WA MAUDHUI TAMTHILIYA YA ORODHA(Steve Reynolds) Mussa Shekinyashi +255 743 98 98 29 +255 714 80 75 65 mussashaky@gmail.com
  • 2. Utangulizi  Tamthiliya ya Orodha ni tamthiliya inayohusu suala zima la ugonjwa wa UKIMWI na madhara yake katika jamii.  Mwandishi anaweka wazi kuhusu gonjwa hili. Mhusika mkuu Furaha anaathirika na gonjwa hili na kufariki dunia.  Kimaudhui tamthiliya hii imesawiri maisha ya sasa ya jamii ya Watanzania kwani ugonjwa huu bado ni tishio.  Kwa upande wa fani, mwandishi amewaumba vyema wahusika wake, muundo wake ni unaomvutia msomaji kujua ni nini kingeendelea mbeleni, ameteua lugha nzuri ya kisanaa. Haya yote yanajielekeza katika uchambuzi tutaoenda kuufanya.
  • 5. Maambukizi ya VVU na UKIMWI  UKIMWI ni kifupi cha Upungufu wa Kinga Mwilini. Hili ni gonjwa lilitingisha jamii na kutangazwa kama janga la Taifa mwanzoni mwa miaka ya tisini mpaka sasa.  Mwandishi anaiangalia jamii ya mtanzania na kuona kuwa kunauhitaji mkubwa wa elimu juu ya ugonjwa huu.  Mwandishi ameonesha jinsi maambukizi ya UKIMWI yanavyoweza kutokea katika jamii. Kupitia mhusika Furaha, Bwana Ecko, Padri James, Kitunda na Salim mwandishi anaonesha jinsi gonjwa hili hatari linavyoweza kuathiri jamii nzima kwa muda mfupi.  Dhamira hii inajitokeza katika jamii yetu.
  • 6. Athari za makundirika  Vijana wa rika moja (marafiki) hushawishiana kufanya mambo pamoja. Katika hali kama hiyo kuna uwezekano wakafundishana na kushawishiana kufanya mambo mabaya.  Mwandishi anamtumia mhusika Mary anayemshawishi Furaha na kumpeleka Baa kwa bwana Ecko. Huko anamuingiza katika ulevi na kumshawishi kufanya ngono na watu wazima.  Tatizo la makundirika lipo kwenye jamii yetu. Vijana wengi hutumbukia katika mambo mabaya kwa kufuata mkumbo wa marafiki.
  • 7. Vishawishi  Hii ni hali ya kumfanya mtu kutenda jambo fulani.  Mwandishi ameonesha udhaifu wa binadamu katika ushawishi.  Anamtumia mhusika Padri James anayeshawishika kwa Furaha na kujikuta akiingia katika dhambi ya ngono.  Pia mhusika Mary anamshawishi Furaha kumkubali Bwana Ecko na kumuahidi kuwa atapata vitu vizuri.  Mwisho mhusika Kitunda anamshawishi Furaha kuvuta bangi na kumshawishi wafanye ngono.
  • 8. Hofu  Hofu ni hali ya kuwa na woga. Wahusika wanaonekana wakisongwa na hofu juu ya orodha inayokwenda kusomwa.  Wanakijiji wote walikuwa na hofu kwa kuwa hawakuwa na taarifa za kutosha juu ya ugonjwa wa UKIMWI. Mwandishi anaonesha jinsi hofu inavyoweza kuathiri maisha ya mwanadamu.  Anaonesha jinsi Bwana Ecko, Juma, Padri James na Kitunda wanavyopata shida kutafuta orodha.  Mwisho wa yote orodha hiyo haikuwa kama walivyofikiri wao.
  • 9. Mmomonyoko wa Maadili  Maadili ni jumla ya taratibu jamii ilizojiweke ili watu wake wawe na mwenendo mwema. Mwandishi anaiakosoa jamii kwa kuionesha jinsi ilivyokengeuka kutoka katika maadili iliyojiwekea.  Anamtumia mhusika Furaha ambaye hukutoroka nyumbani na kwenda kwenye sehemu za starehe. Kwa desturi za jmii yetu msichana wa rika la Furaha haruhusiwi kwenda sehemu hizo. Pia, Furaha anajihusisha na vitendo vya kihuni na kuidharirisha familia yake.  Vitendo vingine vinavyoashiria mmomonyoko wa maadili ni pale;  Bwana Ecko na Juma ni wakubwa kiumri lakini wanajihusisha kimapenzi na wasichana wadogo (Furaha na Mary).  Padri James anaitumia nafasi yake kama kiongozi wa dini kufanya ngono na Furaha.  Furaha anapokutana na Salimu nyumba ya nyumba yao.  Matukio yote haya yaashiria kumomonyoka kwa maadili ya jamii.
  • 10. Mapenzi ya kweli  Mapenzi ya kweli yamejidhihirisha kupitia mhusika Furaha kwa jamii yake. Upendo huo umedhihirika pale alipoamua kuandikia jamii yake barua yenye orodha ya mambo ya msingi ambayo yangeisaidia jamii kujiepusha na maambukizi ya UKIMWI.  Mama Furaha anaonesha kuwa na upendo wa dhati na binti yake. Alimuangalia kwa ukaribu na kumtunza hata pale alipogundua kuwa alikuwa ameathirika na VVU. Alimpa tumaini mpaka siku yake ya mwisho.  Mama furaha alionesha kuwa na upendo wa kweli na jamii yake.  Furaha alionesha kuwa na upendo wa ukweli na jamii yake.
  • 11. Umbeya na masengenyo  Umbeya ni tabia ya kutoa habari bila ya kutumwa.  Mwandishi anaonesha tabia hiyo kupitia wanakijiji, wanakijiji wanatabia za umbea na masengenyo sana. Mfano katika Uk 18 Mwanakijiji wa 3 anampasha habari Mama Furaha juu ya umbea uliozagaa kijijini kwao kuhusu Furaha.  Pia, baada ya kuugua kwa Furaha habari zilizagaa kijijini kuwa ameandaa orodha itakayosomwa kwa sauti siku ya mazishi yake.  Tabia za namna hii zipo miongoni mwa wanajamii wenzetu.
  • 12. Kukata Tamaa  Kukata tamaa ni kitendo cha kuacha kuwa na shauku ya kufanya jambo Fulani zaidi. Kitendo cha Furaha kuandika orodha baada ya kujua kuwa anaugua UKIMWI kinaonesha kuwa alikuwa amekata tamaa.  Hakuona tumaini la maisha tena baada ya kugunduliwa ameathirika na virusi vya UKIMWI.  Watu wengi kwenye jamii yetu hujikuta wakikata tamaa wanapogundulika kuwa wameathirika na UKIMWI.
  • 13. Tamaa  Kila binadamu huwa na matarajio ya kupata kitu fulani.  Furaha alijiingiza katika vitendo vya ngono na bwana Ecko kwa kutamani pesa zake.  Pia, Furaha alijikuta yumo kwenye mtego wa Kitunda kwa kutamani vitu alivyonavyo; kama sterio na vinginevyo.  Mwandishi anaikemea tabia hii na kubainisha kuwa ni moja ya chanzo cha maambukizi kwa vijana.
  • 14. Umalaya (Ukahaba)  Hii ni tabia ya baadhi ya watu wanaoshiriki vitendo vya ngono na watu wengi kwa dhumuni la kulipwa pesa au starehe.  Mhusika mkuu, Furaha anajihusisha na vitendo vya ngono na watu wengi kijijini kwao.  Pia, Bwana Ecko anajihusisha na vitendo vya ngono na wasichana wengi hapo kwa kijijini.  Wapo vijana wanaojihusisha na tabia za kikahaba katika jamii zetu
  • 15. Unyanyapaa  Kunyanyapaa ni kumuepuka mtu na kumuona kinyaa.  Wanakijiji wanogopa kukutana na mtu aliyeambukizwa maradhi ya UKIMWI kwa kuwa wanaamini wataambukizwa.  Salim anapomtembelea Furaha anaogopa kukaa naye karibu au kumshika mkono kwa kuwa anahofia kuwa ataambukizwa VVU.  Hivyo mwandishi ameona tatizo hili la unyanyapaa katika jamii yetu na kuliweka bayana.
  • 16. Imani Potofu  Hizi ni imani zisizo za ukweli. Jamii mara nyingine hujijengea imani juu ya jambo Fulani bila kuwa na uhakika au uthibitisho juu yake.  Mhusika mwanakijiji wa kwanza anapendekeza kuwa Furaha alipata ugonjwa kwa kurogwa.  Bwana Juma anaamini ukifanya mapenzi na msichana bikira ni dawa ya UKIMWI.  Hii inaonesha kuwa watu wengi hawana elimu ya kutosha juu ya ugonjwa wa UKIMWI.
  • 17. Kukosekana kwa elimu Juu ya ugonjwa wa UKIMWI  Gonjwa la UKIMWI ni gonjwa jipya kwenye jamii ya waafrika. Hivyo watu wengi hawajui mambo mengi kuhusu ugonjwa huu.  Mwandishi anaonesha kuwa wanakijiji hawajui masuala mengi yanayohusiana na ugonjwa wa UKIMWI; ikiwemo namna unavyoenezwa, tiba na namna ya kujikinga.  Wanatoa mawazo mengi ambayo si ya kweli juu ya ugonjwa huu hatari.  Tatizo hili lipo zaidi katika maeneo ya vijijini nchini Tanzania.
  • 19. Migogoro  Mgogoro kati ya Furaha na Dada Mdogo  Mgogoro huu umejitokeza pale Furaha alipokuwa anatoroka usiku kwenda baa.  Mgogoro kati ya Baba Furaha na furaha  Mgogoro huu umetokea baada ya baba kugundua kuwa furaha huwa anatoroka usiku.  Mgogoro kati ya Furaha na Salim  Mgogoro huu unajitokeza pale Salimu anapoenda kuulizia orodha kwa Furaha.  Mgogoro kati ya bwana Juma na Mary  Mgogoro kati ya Salim na Mama Furaha  Baada ya Salim kuchana barua iliyokuwa imeshikwa na mama Furaha.
  • 20. Ujumbe  Tamaa mbele mauti nyuma  UKIMWI huathiri watu wa rika zote  Mapenzi ya utotoni si mazuri katika jamii  Tunatakiwa tuwatii wazazi na kufanya kazi kwa bidi  Marafiki wabaya hutupeleka katika njia isiyofaa  Matumizi ya kondomu hupunguza maambukizi ya UKIMWI  Dhana potofu hupelekea unyanyapaa
  • 21. Falsafa  Mwandishi anaamini kuwa Binadamu ni kiumbe dhaifu sana kisichoweza kupingana na vishawishi. Anamtumia mhusika furaha na Padre James ambao wanashindwa kupambana na tamaa za miili yao na kujikuta wakiingia katika vitendo vya ngono. Matokeo yake ni kuongezeka kwa maambukizi ya UKIMWI.  Pia mwandishi anaamini kuwa watu wakipata elimu juu ya ugonjwa wa UKIMWI tunaweza kupunguza mambukizi mapya. Anatoa mapendekezo yatakayoiokoa jamii yake kwa kutumia orodha ya mambo ya msingi ya kuzingatiwa.
  • 22. Mtazamo  Mwandishi anamtazamo yakinifu. Anaiangalia jamii yake katika mtazamo dhahiri wenye uthibitisho.  Anabainisha changamoto zinazoikumba jamii yake na kuonesha suluhisho la matatizo hayo.  Mfano anaonesha tatizo la jamii kukosa elimu ya ugonjwa wa UKIMWI na kutoa namna ya kuliepuka janga hilo.  Mwandishi anamtazama Padri James kwa jicho la kibinadamu. Anamuona kama binadamu mwingine na kwamba anaweza kuathiriwa na tamaa za kibinadamu.
  • 23. Swali “Mwandishi ni mwanga wa jamii, unaomulika katika kiza kinene cha ouvu.” Jadili kauli hii kwa kutumia tamthiliya mbili ulizosoma darasani.